Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote,
mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Marko 16:15
  Dhehebu linaamini kuwa:
Utakaso huwa halisi katika muamini kwa kugundua na kufahamu utambulisho wake na Kristo katika kifo chake na kufufuka na kwa imani akajihesabu kila mara kwamba yupo katika muungano huo, na kwa kutoa kila kiungo kila mara kwa ajili ya kutawaliwa na Roho Mtakatifu. ( Warumi 6:11, 13:8-13 Wagalatia 2:20 Wafilipi 2:12-13)
By EAG(T) Authorities